Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates. Bao lingine la Arsenal limefungwa na kipa wa Villa, Mark Bunn aliyejifunga akijaribu kuokoa shuti la Mikel Arteta lililomgonga na kutinga nyavuni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Amon-Ra St. Brown becomes highest-paid wideout in the NFL with $120M,
four-year extension
-
The extension includes $77million guaranteed, as St. Brown, 24, will now
have to wait until 2029 to become a free agent. His salary ties him with
Hill for ...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment