Mshambuliaji wa Real Madrid, Ronaldo Ronaldo (katikati) akishirikiana na Lucas Vazquez (wa pili kulia) kuwania mpira dhidi ya kipa wa Getafe, Guaita katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez. Ral imeshinda 5-1 mabao yake yakifungwa na Karim Benzema dakika ya 29, Isco dakika ya 40, Gareth Bale dakika ya 50, James Rodriguez dakika ya 88 na Ronaldo dakika ya 90, huku la wenyeji likifungwa na Sarabia dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United star Mason Mount is spotted walking with a mystery blonde woman
in Altrincham... before midfielder finds parking ticket on his £120,000
Land Rover
-
The Manchester United midfielder has endured a frustrating debut season at
Old Trafford following a £60million summer move from Chelsea. He was
pictured ou...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment