• HABARI MPYA

    Saturday, April 16, 2016

    FARID MUSSA APAA SAFARI KWENDA HISPANIA

    Kiungo wa Azam FC, Farid Mussa (kushoto) akiwa na mmoja wa viongozi wa timu, Abdulkarim Amin ''Popat' (kulia) Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam Alfajiri ya leo wakati wa safari ya kwenda Tunisia ambako katikati ya wiki ijayo klabu yake itamenyana na wenyeji, Esperance katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika. Farid ameondoka mapema kabla ya wenzake wanaoondoka kesho kwa sababu anakwenda kushugulikia mipangop ya safari ya kwenda Hispania kwa majaribio 
    Farid (kushoto) akiwa Uwanja wa Ndege wa Istanbul, Uturuki kusubiri kuunganisha ndege ya Tunisia

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FARID MUSSA APAA SAFARI KWENDA HISPANIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top