Wakali watatu wa Barcelona, Luis Suarez, Neymar Junior na Lionel Messi wakijishangaa baada ya kufungwa 2-1 na Valencia usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa La Liga Uwanja Camp Nou, huo ukiwa mchezo wa tatu mfululizo wanafungwa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 13. Mabao ya Valencia yalifungwa na Ivan Rakitic aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa krosi ya Guilherme Siquiera dakika ya 26 na Santi Mina dakika ya 45, wakati la Bara lilifungwa na Messi dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: The search for Dan Ashworth's replacement approaches
its final phase, Lewis Miley is set to miss the rest of the season... while
Toon stars celebrated Spurs win with the Wealdstone Raider!
-
CRAIG HOPE: Newcastle's players celebrated last Saturday's 4-0 win over
Tottenham in the company of The Wealdstone Raider, their unofficial minder
for the ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment