Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya mwisho katika ikishinda 2-1 dhidi yawapinzani wao katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England, Leicester City mchana wa leo Uwanja wa Emirates. Leicester ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Jamie Vardy kwa penalti dakika ya 45, kabla ya Theo Walcott kuisawazishia Arsenal dakika ya 70. Leicester ilimpoteza beki wake Danny Simpson aliyetolewa kwa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment