Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yalifungwa na James Rodriguez na Toni Kroos, wakati ya Bilbao yalifungwa na Javier Eraso na Gorka Elustondo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Not since Diego Maradona have Argentina had a pantomime villain to match
wind-up merchant Emiliano Martinez... but his £16m move to Aston Villa is
one of Arsenal's daftest decisions this century
-
TOM COLLOMOSSE: The Aston Villa goalkeeper is the biggest wind-up merchant
in world football and is disliked in France in much the same way Maradona
was in...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment