Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu na Radja Nainggolan wa AS Roma katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Olimpico mjini Roma, Itali. Real imeshinda 2-0 mabao ya Ronaldo na Jese Rodriguez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
March Madness: UConn becomes the first reigning national champions to reach
the Elite Eight since 2007 after beating San Diego State... as Clemson
spoils Arizona's homecoming hopes
-
The Connecticut Huskies extended their streak of double-digit victories in
March Madness to nine in a row with a victory over San Diego State in a
rematch ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment