Mshambuliaji wa Sunderland, Jermain Defoe akiitia misukosuko ngome ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Light. Sunderland imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Wahbi Khazri na kipa David de Gea aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa mpira wa kichwa wa Lamine Kone, wakati bao la Man United limefungwa na Anthony Martial PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou praises 'brave' Richarlison for opening up on his mental
health struggles - and believes the Tottenham forward's emotional interview
can be a 'conduit for others to reach out for help'
-
The Brazilian, who joined Spurs from Everton in 2022 for £60million,
revealed in a tearful interview earlier this week that he had suffered from
depression...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment