Mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino akiifungia timu yake bao dakika ya 59 katika sare ya 2-2 na Sunderland kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Adam Lallana, wakati mabao ya Sunderland yamefungwa na Adam Johnson na Jermain Defoe PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Rumors: Jaguars Eye Trade Up for Pass-Catcher Amid Brock
Bowers Buzz
-
The Jacksonville Jaguars are reportedly looking to bolster their passing
attack in Thursday's NFL draft. Per The Athletic's Dianna Russini, the
Jaguars have…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment