Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Willian (kushoto) akipongezwa na mchezaji mwenzake, Diego Costa baada ya kufunga katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Newcastle usiku wa Jumamosi Uwanja wa Stamford Bridge katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Costa, Pedro mawili na Bertrand Traore, wakati la Newcastle lilifungwa na Andros Townsend PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment