Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol usiku huu katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora michuano ya Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Gerard Pique na Neymar, wakati bao pekee la Espanyol limefungwa na Felipe Caicedo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Top lawyer reveals the loophole that will save footy star Braydon Trindall
from getting in trouble for failing a drug test after partying with
teammates
-
The 24-year-old Cronulla star was pulled over at 9.45am on Monday in the
southern Sydney suburb of Caringbah. He has been stood down from training
and play...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment