Mshambuliaji Sergio Aguero (kulia) akiifungia bao la kwanza Manchester City kwa kumtungua kipa wa Norwich, John Ruddy (katikati) katika ushindi wa 3-0 usiku wa jana Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya City yamefungwa na Kelechi Iheanacho na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag: There was no panic
-
The boss feels his side were composed in responding to conceding two
'unacceptable' goals on Wednesday.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment