Wachezaji wa Stand United ya Shinyanga, beki Abuu Ubwa (kulia) na winga Haroun Chanongo (kushoto) wakiwa na jezi za TP Mazembe Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana baada ya kuanza majaribio yao ya wiki moja kuwania kujiunga na mabingwa hao wa Afrika. Mazembe tayari ina washambuliaji wawili Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ambao wote wapo mbioni kuuzwa Ulaya baada ya misimu minne ya mafanikio Lubumbashi.
Amon-Ra St. Brown becomes highest-paid wideout in the NFL with $120M,
four-year extension
-
The extension includes $77million guaranteed, as St. Brown, 24, will now
have to wait until 2029 to become a free agent. His salary ties him with
Hill for ...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment