- Don't get your hopes up! Southgate warns fans as England fly out to Krakow
- England head into Euros as world's sixth-best team (well, according to FIFA...)
Wayne Rooney amewataka wachezaji wenzake wa timu ya taifa ya England, kusahau matokeo mabaya ya nyuma na kujituma katika michuano ya Euro 2012.
Mshambuliaji huyo yumo kwenye kikosi cha kocha Roy Hodgson cha Euro 2012, lakini alikuwa mchezaji muhimu kwenye timu ya England kilichochza fainali mbili za Kombe la Dunia na kukosa tiketi ya Euro 2008.
0 comments:
Post a Comment